Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Mkuu Makindi ulitegemea nini ikiwa huyo Spika wetu anazima hoja za nguvu na kuruhusu upuuzi. Tena mtu aliye jiudhuru mwenyewe kwa kusababisha serikali ya walala hoi wa Tanzania kupata hasara ya mamilioni na mabilion ya fedha za Richmond, sasa Dowans does this man really qualify????????? Eti huyo tena anakuwa mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nchi za nje, ulinzi na usalama, kwenye bunge la kutetea maslahi ya taifa hili.Anna Makinda ni mchemkaji, ana-panic, unfounded and specious. Na amewekwa na vilaza akina RA na El unategemea nini? Umbumbumbu wake ndio unempelekea aseme hataki miongozo....... it's very unfortunate that in this transparency epoch we've a very stupid speaker on earth.
Wanadhani Watanzania wamelala ni vilaza hawajui kinacho endelea, majibu yao yako jikoni watapata hivi karibuni, waendelee tuu!!!!!!!!!!
Because of your great mercy you never abandoned them in the desert. And you always guided them with a cloud by day and fire at night. Nehemiah: 9:19.
Because