mbasajohn
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 247
- 39
leo nilikuwa nafatilia bunge wakati linapitisha sheria ya fedha ya mwaka 2011 lakin mwenendo alioutumia Mweshimiwa Makinda kukataa mabadiliko yaliyopendekezwa na Dhambi na Tundu Lisu na Mnyika sijaufurahia maana unageuza bunge kuwa puppet wa serikali na serikali kuwa watunga sheria kitu ambacho si kizuri kwa masirah ya taifa letk