Bunge la Kenya laanza tena...Updates.

Ruto locked out of House Business team


nhmaincap260210_01.jpg

MPs’ secret night meetings see Parliament adopting powerful House team list that excludes Ruto and allies.
This look like fight for power.
 
This look like fight for power.

..Not really mkuu. Hapa kuna ile naita 'survival to remain relevant.'

Kenya's political scene imekua dramatic na baada ya mwaka huu
kuna watu watakumbwa na maswala kibao that could shatter their
political relevancy for good. Ruto ni mmoja wa hao watu na Uhuru
Kenyatta ni wa pili.

ODM wameshajua huyu bwana ni ndumilakuwili na hawana time
naye tena. Watu wana kikao kumaua maswala ya chama kisha yeye
anaenda kando kabisa na mapendekezo ya wenziye. To make it
worse anachukua side ya PNU ambao ni wapinzani na ODM.

Therefore it became a prudent move for the ODM hierarchy to do
this early ili kuondoa nuksi.
 
..Not really mkuu. Hapa kuna ile naita 'survival to remain relevant.'

Kenya's political scene imekua dramatic na baada ya mwaka huu
kuna watu watakumbwa na maswala kibao that could shatter their
political relevancy for good. Ruto ni mmoja wa hao watu na Uhuru
Kenyatta ni wa pili.

ODM wameshajua huyu bwana ni ndumilakuwili na hawana time
naye tena. Watu wana kikao kumaua maswala ya chama kisha yeye
anaenda kando kabisa na mapendekezo ya wenziye. To make it
worse anachukua side ya PNU ambao ni wapinzani na ODM.

Therefore it became a prudent move for the ODM hierarchy to do
this early ili kuondoa nuksi.

The day when Uhuru Kenyatta and Ruto will vanish from our political landscape, I will be a very happy Kenyan. Moreno Ocampo should do us the honors, we really dont want these goons around in 2012.
 
Back
Top Bottom