Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 248
Katika Bunge hili la Katiba spika atakuwa Anne Makinda na Bdugai au watachagua spika mwingine?
Mwenye kujua atujuze.
Kazi kwenu JF
Mwenye kujua atujuze.
Kazi kwenu JF
Baada ya Majina Ya Wajumbe wa Katiba kutangazwa sasa kinachofata ni Kikao Rasimi cha Bunge Hilo Feb 18.
Kwa Mujibu wa Sheria,Wabunge wote wa JMT Wanakua Sehemu ya wajumbe wa Bunge hilo.
Kwa kua Mama yetu Makinda ni Mbunge pia, hivyo mojakwamoja ni Mjumbe kama walivyo wabunge wengine.
Spika wa Bunge atachaguliwa Mwingine ambapo ni Matumaini yetu kua atachaguliwa Spika atakayeongoza Kikao Hicho kwa Maslahi ya Nchi Yetu kama yalivyo Maudhui ya rasimu ya Katiba kua ni ya Maslahi ya Nchi .
Hii itakua Fursa ya Kipekee kwa Mama yetu Makinda kushuhudia Jinsi Kikao Huru cha Bunge kinavyotakiwa kuwa.
Watajua wenyewe, ila ninacho kijua mimi katiba hii ikipita bila ya Kua na Mahakama ya Kadhi, ambayo katiba ya Kenya nchi ambayo waislamu ni idadi ndogo ukilinganisha na Tanzania, na wana Mahakama ya Kadhi kwa mujibu wa katiba hiyo, basi hakika kwa makusudi Kama Tume ya Jaji Joseph Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi ilivyofanya kudharau maoni ya kundi kubwa la nchi hii Waislamu, na Bunge hili nalo, litakua limeongeza Chumvi kwenye kidonda.
Then, Time will tell.
ivi bado mnafikiria kuwepo kwa mahakama ya kadhi....
heh heh sasa watakuwa jinsia gani ??Kwenye bunge la Katiba, ingependeza spika akawa mtu wa kutoka Tanganyika na naibu atke Zanzibar; ila wote wasiwe Waislamu au Wakristo, au Wanaume au Wanawake.
Hivi huyu mama kaolewa
Yule ni kama jamvi la msibani mtu yeyote analalia....
Watajua wenyewe, ila ninacho kijua mimi katiba hii ikipita bila ya Kua na Mahakama ya Kadhi, ambayo katiba ya Kenya nchi ambayo waislamu ni idadi ndogo ukilinganisha na Tanzania, na wana Mahakama ya Kadhi kwa mujibu wa katiba hiyo, basi hakika kwa makusudi Kama Tume ya Jaji Joseph Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi ilivyofanya kudharau maoni ya kundi kubwa la nchi hii Waislamu, na Bunge hili nalo, litakua limeongeza Chumvi kwenye kidonda.
Then, Time will tell.
heh heh sasa watakuwa jinsia gani ??