Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
wamejaaliwa ..natumai watatuwakilisha vema
.wamejaaliwa ..natumai watatuwakilisha vema
wamejaaliwa ..natumai watatuwakilisha vema
Hapo na mmiss Le Mutuz
kawahonga sana wakampotezea sasa hivi kajianzishia ka blogu anakimbizana na kina mange na michuzijamaa ccm wamemchinjia baharini ana hamu nao?
.
saint ivuga ... Vipi kijana ... Nini kinakusumbua ... Mara aaah sijui wabunge si haba! ... (yaani unamaanisha wametosha/ wamejaa) au ... mara unaanza kusema oohh wamejaliwa! ... he vipi wewe kijana au umeshaanza kuanzisha njaa nini! ... Njaa hizi jamani kwa kweli zinasumbua sana watu na zitaua wengi!
Ngoja nikusemee ... mwali !!!!! Njoo umuone rafiki yako huku ... Anaendekeza njaa & bado hajajirekebisha!
kuna mmoja atatuuza hapo hapo kwa urafiki wa kitandani na wakenya. Mi huwa naumia sana watu wanapochagua watu kwa ushabiki bila kuangalia ufanisi wa kazi wanayotumwa utakuwaje. Alishajipeleka ubalozi kutafuta bwana ili awasaidie kupata ardhi yetu. Muuza sura ni muuza sura tu!