MALUNGU JF-Expert Member Jun 2, 2011 250 97 Jun 3, 2011 #1 Bunge la bajeti linaanza wiki ijayo,huku watz maskini wakilia ugumu wa maisha.Wana-jf kwa wabunge hawa 2tegemee nini?
Bunge la bajeti linaanza wiki ijayo,huku watz maskini wakilia ugumu wa maisha.Wana-jf kwa wabunge hawa 2tegemee nini?
Sijali JF-Expert Member Sep 30, 2010 2,586 1,678 Jun 3, 2011 #2 Wataanza kwa kutaka waongezewe mishahara na ruzuku.
MALUNGU JF-Expert Member Jun 2, 2011 250 97 Jun 3, 2011 Thread starter #3 Sijali said: Wataanza kwa kutaka waongezewe mishahara na ruzuku. Click to expand... Unafiki wa Magamba tutauona hapa!
Sijali said: Wataanza kwa kutaka waongezewe mishahara na ruzuku. Click to expand... Unafiki wa Magamba tutauona hapa!
MALUNGU JF-Expert Member Jun 2, 2011 250 97 Jun 3, 2011 Thread starter #4 Sijali said: Wataanza kwa kutaka waongezewe mishahara na ruzuku. Wakifanya hivyo itabidi tuanze kuwazomea!!! Click to expand...
Sijali said: Wataanza kwa kutaka waongezewe mishahara na ruzuku. Wakifanya hivyo itabidi tuanze kuwazomea!!! Click to expand...
MALUNGU JF-Expert Member Jun 2, 2011 250 97 Jun 3, 2011 Thread starter #6 CDM wataogopa kuzomewa mjengoni? wakizomewa huko sisi tuwafanyaje hawa wa Magamba mtaani?