Brightman Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2009
- 1,225
- 232
Kwa nini hoja ikiletwa na upinzani inakataliwa na Spika lakini ikiletwa na CCM inakubaliwa;
kwa mfano jana Mbunge wa Wawi alitoa hoja ya kuhailishwa shughuri za bunge ikakataliwa kwa nguvu kubwa lakini ilipoletwa na CCM ikakubaliwa?
Maslahi ya chama kwanza..!