Hatuna muda wa kujadili umbea hapa tunataka source za uhakika.mkuu jaribu kumuamini tu yawezekana jamaa akawa messenger wa bunge............hivo huwa anadaka umbea akiwa katika shughuli yake ya kusambaza vimemo
Hatuna muda wa kujadili umbea hapa tunataka source za uhakika.mkuu jaribu kumuamini tu yawezekana jamaa akawa messenger wa bunge............hivo huwa anadaka umbea akiwa katika shughuli yake ya kusambaza vimemo
Hakuna cha bunge kule Dodoma. wananchi tunatakiwa kuandamana nchi nzima kumpinga spika ili aachie ngazi. kanuni zake zinatusaidia nini kama maslahi ya wananchi hayana nafasi?
Upelelezi wangu niloufanya umeonyesha kuwa habari hizi hazina ukweli kabisa.
Anayelilia kukosa cheo ana uchu wa madaraka.