Bunge kupitisha maamuzi yake kwa kupima sauti si sawa katika zama hizi!

Tetere Enjiwa

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
217
65
Wote tumeshuhudia maumuzi ya mambo muhimu ya husuyo nchi yetu yananavyo pitishwa bungeni, kwa waheshimia Wabunge wetu kuulizwa wanao kubali waseme ndio na wanao wakataa waseme hapana. Mwisho wa siku anaachiwa muulizwa swali kuamua walio shinda. Siamini kuwa hii inaonyesha umakini wowote katika kuendesha bunge na hasa kufanya maaumuzi.

Katika mfumo tulionao sasa wa vyama vyingi na tukizingatia mabadiliko ya sayansi na teknologia tunatakiwa kubadilisha mfumo wa upigaji kura za maaumuzi ya bunge ili kuliongezea heshima bunge letu mbele ya jamii. Naomba kuwakilisha.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Kuna watu hawana sauti, au kama wanazo hukutwa hawajawasha 'mike' zao. Hata bila ya kigezo cha besi au sauti nyembamba, sauti kali au au ya chini, ni ngumu kwa Spika kujua watu waliokubali au kutataa ni wangapi hasa pale ambapo, waliokubali na waliokataa wanakaribiana au wako sawa ki-idadi.
 
Back
Top Bottom