Tetere Enjiwa
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 217
- 65
Wote tumeshuhudia maumuzi ya mambo muhimu ya husuyo nchi yetu yananavyo pitishwa bungeni, kwa waheshimia Wabunge wetu kuulizwa wanao kubali waseme ndio na wanao wakataa waseme hapana. Mwisho wa siku anaachiwa muulizwa swali kuamua walio shinda. Siamini kuwa hii inaonyesha umakini wowote katika kuendesha bunge na hasa kufanya maaumuzi.
Katika mfumo tulionao sasa wa vyama vyingi na tukizingatia mabadiliko ya sayansi na teknologia tunatakiwa kubadilisha mfumo wa upigaji kura za maaumuzi ya bunge ili kuliongezea heshima bunge letu mbele ya jamii. Naomba kuwakilisha.
Katika mfumo tulionao sasa wa vyama vyingi na tukizingatia mabadiliko ya sayansi na teknologia tunatakiwa kubadilisha mfumo wa upigaji kura za maaumuzi ya bunge ili kuliongezea heshima bunge letu mbele ya jamii. Naomba kuwakilisha.