Bunge kupitia upya vipengele vya pensheni vinavyolalamikiwa

Hiyo sheria hawakufiria hata kidogo.... Kwa wafanyakazi wa serikali hilo wanatambua cku zote na hawana ndoto ya withdrawal benefit ila kwa secta binafsi hapo walichemka kutaka kutoa hiyo kitu.

Hata wafanyakazi wa serikali nao wana uhuru wa kuacha kazi wakati wowote kwa kutoa notisi ya saa 24 au miezi mitatu. Sheria ya hifadhi ya jamii iweke fao la kujitoa kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii. Pia sheria iruhusu wanachama wa mifuko hiyo kukopa fedha katika mifuko hiyo kwa ajili ya maendeleo yao. Tunachokiona sasa hivi ni watu wasio wanachama kufaidi na fedha za wafanyakazi.Tuwakumbushe wabunge wetu; naanza kumpigia mbunge wangu na kila mtu afanye hivyo
 
kuna mchangiaji alianzisha uzi eti mnyika na Lisu wanafanya vituko bungeni. Ameshindwa kutambua anachofanya mnyika na wabunge wengine wapenda haki ni kutetea wananchi. Tunajua mnyika alitangaza nia ya kupeleka muswada binafsi wa marekebishe ya sheria ya hifadhi ya jamii na alishaanza kukusanya saini za wabunge ili kukidhi kanuni za bunge. Sasa magamba wanaona hicho ni kituko? baada ya kuona wataaibika wamekubaliana na nguvu ya umma.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom