Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Habari za ndani toka hapa Kilimani zinasema wanachama wa jumba la baridi safari hii watakaa hapa Dodoma wiki 2 tu na kuondoka maana hawana la kufanya zaidi .Wengi wao walitegemea kwamba hotuba ya ndugu Rais itakuwa wazi iwape kamuda ka kukamua katika lile jumba na kula mbuzi Dodoma lakini sasa imethibitika rasmi kwamba , JK aliweka hotuba yake kwapani akalala nayo mbele na ndiyo maana Spika alisema haitaweza kujadiliwa maana hata kwenye hansard hakuna kitu .
Mimi najiuliza na nawauliza wadau wenzangu .Ni kawaida kwamba Mkulu anaingia Bungeni na kutema cheche baadaye anaweka ngoma kwapani anaondoka ? Ni kitu gani kimefichwa ambacho JK hakutaka kiwe katika records?
Mimi najiuliza na nawauliza wadau wenzangu .Ni kawaida kwamba Mkulu anaingia Bungeni na kutema cheche baadaye anaweka ngoma kwapani anaondoka ? Ni kitu gani kimefichwa ambacho JK hakutaka kiwe katika records?