Uchaguzi umeisha , hivi sasa gumzo si CHADEMA tena yameisha pita hayo na mgombea wao slaa , hivi sasa watu wana discuss nafasi ya u-spika na muundo wa baraza la mawaziri.
Na ahadi za CCM za zaidi ya trillion 90 kwa miaka 5.
Kupunguza inflation angalau ikaribie ile aloachiwa na mkapa