mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Waheshimiwa wabunge hili siyo bunge la nanihii kwa hiyo kufika j5 wote muwe na vielelezo kama mnayoyasema ni kweli vinginevyo kusema uongo humu siyo ruhusa, ila kwa waziri mkubwa tu ndiye anaruhusiwa kusema uongo ahh samahani siyo kusema uongo ila anaruhusiwa kutereza kidogo