Kasheshe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 4,694
- 787
Jamani nifuatilia kwa makini na kuona spika asipokuwa makini wabunge hawajadili tena bajeti kama kamati.
Kwa nini!
Dhana ya bunge kama kamati ni kupitia kifungu kimoja hadi kingine kuangalia kila kama kuna mapungufu, ya mafungu ya hela au kilichobangwa.
Cha ajabu wabunge wengi siku hizi badala ya kufanya hivyo wanasimama wote kwenye kifungu 10001. Ambo inasemekana kulingana na taratibu kipo kwa ajili ya kumuuliza waziri maswali ya sera tu.
Lakini pia wabunge wengi wanaouliza maswali ambayo hayapo kwenye hoja husika matokeo yake hoja husika haipata muda muafaka unaotakiwa...
Mimi inanisikitisha sana... maana Spika asipokuwa makini ndio mijadala inapoteza dira hivyo.
Kwa nini!
Dhana ya bunge kama kamati ni kupitia kifungu kimoja hadi kingine kuangalia kila kama kuna mapungufu, ya mafungu ya hela au kilichobangwa.
Cha ajabu wabunge wengi siku hizi badala ya kufanya hivyo wanasimama wote kwenye kifungu 10001. Ambo inasemekana kulingana na taratibu kipo kwa ajili ya kumuuliza waziri maswali ya sera tu.
Lakini pia wabunge wengi wanaouliza maswali ambayo hayapo kwenye hoja husika matokeo yake hoja husika haipata muda muafaka unaotakiwa...
Mimi inanisikitisha sana... maana Spika asipokuwa makini ndio mijadala inapoteza dira hivyo.