FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
Aanze fujo, aharibu mali za watu, halafu waachiwe waendelee, wasidhibitiwe? Mnanshangaza! Vibaka wakiiba endiketa tu za gari mnawapiga tairi, leo hawa wanachoma magari na kuhatarisha maisha ya raia kibao, waachiwe? No.
Tandika risasi wao na wanao washawishi.
khaaaah! Hii sa too much, mjin¥a wewe usie na roho ya utu. yani wewe unavyonipa hasira kwa upupu wako dah!
Ni hv tu nimefundishwa ustahamilifu tangu utotoni mana ningeandika neno baya sana kwako!
Hv wewe hujui mateso wanayopata wa tz na wakidai haki zao polisi wanawaua tena risas za moto? Hv unaishi dunia gani wewe?mbna huna huruma mtoto wa kike? Hv unakubali kwa moyo mmoja wa tz watandikwe risasi?! Dah wewe mwanamke wewe....ULAANIWE mpaka cku unaingia kaburini.