Hii peleka kule kwa wakubwa ndo watu watachangia kwa raha zao hapa aibu bana
Du ila heading imenichekesha haitoshi wapi sasa?? Labda umepata mashine kubwa kuzidi wewe tafuta saizi yako
kwani hiyo bunduki kwa sasa ni size gani?nani kakwambia kuwa haitoshi?machangu au mkeo?Ndugu zangu wana jf,mi kiukweli nataka nipate bunduki kubwa na ndefu, maana kwa nguvu kako fresh.
Nimejaribu kutumia dawa za kimasai na nyingine lakini haibadiliki.
Mwenye kujua dawa yenyewe naomba anipe maelekezo ama adress niweze fanikia.
Duh, haya Bunduki zinaleta tabu!!!
Dena ..............sayitaa. kweli unaona aibu.
Sayuuu ..... Si huyu bana anatuletea mambo ya kikubwa huku kusiko
Jamaa hajaeleza atumia bunduki aina gani halafu anawinda mnyama wa aina ipi... sungura, tembo....
Ndugu zangu wana jf,mi kiukweli nataka nipate bunduki kubwa na ndefu, maana kwa nguvu kako fresh.
Nimejaribu kutumia dawa za kimasai na nyingine lakini haibadiliki.
Mwenye kujua dawa yenyewe naomba anipe maelekezo ama adress niweze fanikia.
sio lazima kutumia bunduki peke yake,kama haitoshi tumia nyenzo nyengine kama mkuki,jambia mweeh :A S 13::A S 13: