Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Habari nimeikuta kwenye gazeti la mwananchi la leo.
Wakulima wa mpunga wa Bunda waliokuwa wakijitahidi kukabiliana na umasikini kwa kilimo cha mpunga ziliyeyuka kwani inadaiwa sumu kutoka kiwanda cha Bunda oil Mill kuathiri zaidi ya ekari 64 za mpunga.
Uharibifu huo umekuwa ukijirudia kila mara licha ya baraza la serikali la mazingira Nemc kutambua tatizo na wanaishia kularushwa tu huku wanabunda wakiangamia!
Kichekesho kilikuja kwamba kila mkulia kulipwa fidia ya 25000 bila kujali ukubwa wa eneo,hivi serikali iko wapi??? Mnataka wananchi hawa waende wapi?wakalalamikie wapi?
Kama uongozi wote una taarifa na mnakaa kimya maana aliulizwa mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Rajesh Savla kwamba kwa nn kafanya hvy akasema wakaulizwe watu wa mazingira tena kwa ukali imefika mahala ss tumechoka haiwezekani watu wakanyanyasika namna hii!
Wakulima wa mpunga wa Bunda waliokuwa wakijitahidi kukabiliana na umasikini kwa kilimo cha mpunga ziliyeyuka kwani inadaiwa sumu kutoka kiwanda cha Bunda oil Mill kuathiri zaidi ya ekari 64 za mpunga.
Uharibifu huo umekuwa ukijirudia kila mara licha ya baraza la serikali la mazingira Nemc kutambua tatizo na wanaishia kularushwa tu huku wanabunda wakiangamia!
Kichekesho kilikuja kwamba kila mkulia kulipwa fidia ya 25000 bila kujali ukubwa wa eneo,hivi serikali iko wapi??? Mnataka wananchi hawa waende wapi?wakalalamikie wapi?
Kama uongozi wote una taarifa na mnakaa kimya maana aliulizwa mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho Rajesh Savla kwamba kwa nn kafanya hvy akasema wakaulizwe watu wa mazingira tena kwa ukali imefika mahala ss tumechoka haiwezekani watu wakanyanyasika namna hii!