Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Wakazi wa Bulyanhulu na vijiji vya jirani wakiongozwa nadiwani wao wa Chadema leo wamefanya maandamano ya amani kwa kuwapa Barrick siku 30 wawe wameleta maji kakola kwani wanaishi jirani na mgodi unaotumia maji toka ziwa Victoria pia mwaka 2006 meneja alitoa dola 60,000 kwa ajili ya maji kwa kusign contract but cash haijafika kijijini mpaka leo