Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Mkuu unaongea usichomaanisha ww hauna nia ya kuongea juu ya Bukoba bali unapenda kuongea juu ya watu sana na mambo mengine yasiyokuwa na mantiki...sasa hapa nani ameongelea watu ama na ww uko kama viongozi wenu wanaoshinda wanahubiri unyambo,uyoza,ukiziba,uangaza n.k?unalenga nn hapa?
Mkuu unaweza kuiongelea Bukoba bila kuongelea jamii inayoishi hapo hasa wazawa?Mambo ya ekyawe kijunda nokara yalishapitwa na wakati.Penye ukweli lazima niseme.