Kenge (Eng)
JF-Expert Member
- Dec 7, 2006
- 543
- 156
Kituo Nkindo
Chadema 188
CCM 144
CUF 1
Udiwani
Chadema 169
CCM 68
Chadema 188
CCM 144
CUF 1
Udiwani
Chadema 169
CCM 68
Hivi haya matokeo ni ya kweli ama mnanizuga,kwani mpaka sasa nip chakari nimeanza sherehekea ushindi
mapinduzi daimaaaaaaaaa
Hivi haya matokeo ni ya kweli ama mnanizuga,kwani mpaka sasa nipo chakari nimeanza sherehekea ushindi
mapinduzi daimaaaaaaaaa
Haya ndio yalisababisha Zanzibar... siku zote waseme kura zinachakachuliwa... Unajua kwenye mpinzani majimbo yenye upinzani ndio yanatoa matokeo mapema... watu wanasherekea sasa... subiri matokeo yote yatoke.... consider you are a looser my friend... tuombe Mungu baada ya siku tatu nishitue.
wee kula kilaji.....Slaa ndio rais wako
I'm so proud to be Bukobanian. Bukoba wananchi hawataki utumwa.
Yatoke wapi...Lindi mmelala! Tunajua balaa ni Moro, Dodoma, Singida na Tabora, na mtwara
Chadema
Kilimanjaro
Arusha
Manyara
Kagera
Tarime
DREAMER, naongeza MWANZA NA SHINYANGA kwa raha zetu na TUKIKOMBA MIKOA MINGINE VILEVILE!
MbeyaDREAMER, naongeza MWANZA NA SHINYANGA kwa raha zetu na TUKIKOMBA MIKOA MINGINE VILEVILE!