Kwa kipindi kirefu tangu Tanzania kuwa na mitandao ya mawasiliano Bukoba ilionekana tofauti sana kwa kutokushiriki katika Internet, lakini kwa sasa kuna mwamko kwani kiasi cha watu wanaochat katika facebook, twiter na badoo ni kwa kiasi kikubwa. Nzuri zaidi kwa nshomile hao, saizi kuna blog spots mbalimbali zenye kuwa na taarifa mpya kama (bukoba wadau, nicolausmac.blogspot.com na www.audax-kagera.com) jamani na wenzangu mmeiona hiyo? sina uhakika sana kama kuna nyingine kama zipo tujuze ili tupashuhudie ni nyumbani huko.