TODO
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 219
- 62
Halo wa wanajamii, mlio na access ya kujua kinachoendelea mjengoni mtujuze sisi tunaomtumikia kaisali, naulizia kuhusu maendeleo ya bajeti ya Nahodha vuai maana kwa mtazamo wangu naona wizara hii inachangamoto nyingi sana ikiwema Askari wetu kutumia vibaya nafasi zao kufika mahala mpaka wanaua.