kiwango kipi? hakuna jipyaKiwango rasmi kujulikana baada ya muda mfupi!
:embarrassed1:"Serikali imeeleza utayari wake wa kuongeza mshahara kwa kati ya asilimia 15 mpaka 20 kama ambavyo itafanya kwa watumishi wote wa umma katika mwaka huu wa fedha." J.K
Nothing new, bajet imemalizwa kusomwa. Hakuna nyongeza ya mshahara duu, hii kali au itaongezwa kimya kimya
kweli nchi ya ahadi