X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,809
Nakumbuka nilipokuwa Wete kikazi... Kuna siku nilihudhuria kikao cha mahama... Na siku hiyo kulikuwa na kesi ya wizi na mshatakiwa alikuwa bubu...
Hakimu akamuliza bubu jina lake. Bubu akajishika koo na akajigusa mahala pake pa siri. Hakimu akakasirika sana akasema huyu kijana hana adabu kabisa.
Mzee wa baraza, alimwelewa bubu, akamwambia hakimu huyu bwana hujamelewa... Hakimu akasema siajamuelewa vipi!? Wakili akamwambia hakimu huyu bubu anakujibu kuwa jina lake ni Koomboo!
Hakimu akamuliza bubu jina lake. Bubu akajishika koo na akajigusa mahala pake pa siri. Hakimu akakasirika sana akasema huyu kijana hana adabu kabisa.
Mzee wa baraza, alimwelewa bubu, akamwambia hakimu huyu bwana hujamelewa... Hakimu akasema siajamuelewa vipi!? Wakili akamwambia hakimu huyu bubu anakujibu kuwa jina lake ni Koomboo!