3D.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2010
- 1,018
- 282
HATA MIMI NASHANGAA ila mwanzo mgumu.....
Watanzania huwa tunalea uzembe kwa visingizio vya "mwanzo mgumu." Hawa wameanza lini bwana? Tusker wameanza lini? Madam Ritha ataimprove vipi ikiwa mind yake ni kusema "Una macho mazuri, umependeza."? Wao wanachofanya ni kukusanya pesa tu za sms na wadhamini. Jamani Watnzania tuache kuchukulia mambo kirahisi kwa visingizio vya "Mwanzo mgumu."