GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
mambo ni hovyo kabisa hawa wasichana rita ,salama na miss j wameonekana ni wajinga kabisa na mashindano yameharibika kabisa hayana maana kabisa
Mie nadhani umefika wakati sasa wa kutenganisha waandaaji wa shindano na majaji. Waandaaji wao wawe kazi yao ni kushughulikia na masuala ya maandalizi na utawala , na majaji wawe ni watu tofauti kabisa ambao hawahusiani na waandaaji