mujoma2011
Member
- Jun 2, 2011
- 6
- 0
Naomba kujua hasa kuhusu hii course ya BsC in Environmental Engineering inayotolewa hapa ARDHI UNIVERSITY (zamani UCLAS).
Kwa hapa bongo ni kazi gani hasa hawa watu wanafanya na vipi kuhusu market yake hapa tanzania(je inalipa?).ipi tofauti kati ya Civil engineer na Environmental engineer maana hapa course zake hazina tofauti sana na hawa civil ingineer.
Naomba kueleweshwa wadau,hasa hasa wadau ambao wanfanya kazi katika fani hii, waliosoma au wanaosoma hii course katika hiki chuo,wana ARU.
Mawazo kwa yeyote anayejua pia yanakaribishwa.
Kwa hapa bongo ni kazi gani hasa hawa watu wanafanya na vipi kuhusu market yake hapa tanzania(je inalipa?).ipi tofauti kati ya Civil engineer na Environmental engineer maana hapa course zake hazina tofauti sana na hawa civil ingineer.
Naomba kueleweshwa wadau,hasa hasa wadau ambao wanfanya kazi katika fani hii, waliosoma au wanaosoma hii course katika hiki chuo,wana ARU.
Mawazo kwa yeyote anayejua pia yanakaribishwa.