wewe ni mwalimu nini kwa sababu ulivyouliza maswali yako kama mwalimu anawachia wanafunz kazi ya kufanya
ushauri
kuwa na lugha ya kuomba msaada sio unaropoka shida zako huku ujatoa hata hai utaumbuka mtu mzima
B.sc Ed una major two science subjects,n unasoma few edu course!ipo tite lakn unakuw na uwanja mpana zaidi.
B.ed sc,unasoma one science subject na una major kwny education zaidi,so thats the difference!