bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Inauma sana tena inauma,uyu kaka hana muda mrefu wa kupata UKIMWI,ni anautafuta au anao amekwisha jichokea na maisha sasa anausambaza.
Dah kwa dunia ya sasa hivi mtu uliyeleta hii email copy hizi msg zipeleke huko kwenye iyo site akazisomemhii ni Hatari HATARI SANA
RED ALERT Dah
Na uyu dada ni mvumilivu sana mara tatu kavumilia kisa VItu dah,ndio maana tunaambiwa kila siku wanawake tufanye kazi kwa bidii kuepuka kuwa watumwa wa Mapenzi.na hii sio ndoa ni Ndoano,Dada kimbia na usiangalie nyuma,uyo sio wako,na ndoa huletwa na Mungu kama mwanadamu ukilazimisha haya ya Dunia ndio yanakukuta.
Afu Dear, huyu dada dalili aliziona mwanzo.....wakiwa wachumba akatembea na housi geli...
mimi hapahapo ndo ungekuwa mwisho wetu kabisaaa!!! wakati mwingine tunakuwa wapumbavu 'in the name of love'