Broken Heart - Breaking Up

You know what Soulmate?................I always ask myself what would I do, how would I cope without your wisdom.
I count myself blessed to be closer to you!

Kama si wewe JF, ningekuwa doomed mie

Mtoa mada kusema kweli it is not easy. Kama alivyosema Mbu inakubidi kujipanga haswaa! Mimi ilinichukua muda mpaka kufikie uamuzi wa LIFE HAS TO GO ON WITHOUT HIM. Thanx to JF members who have been very supportive on this! I just feel strong to myself kuwa siku hizi ninawezakuta missed call zake na nisibother kumcall back! kuwa anawezakuja kwangu getini na kumwona mwanae without me kuchungulia kwenye dirisha ah! ninajisifu nimepiga hatua kubwa sana aisee! hadi mwenyewe anashangaa!!

...lol...soulmate, jamaa akinipulizia dawa ya mbu jijue umehusika kwenye mauaji haya!

 
  • Thanks
Reactions: BAK
...lol...kaka hebu nawe ongezea bana..

haya mambo kila mtu na experiences zake,...yakikukuta utajiona ushapoteza thamani ya vitu vyote duniani,
lakini ukijikubalisha na ukweli, kisha ukashukuru mw'mungu na maisha yakaendelea...aaa, hakuna liwazo kama hilo.

Hapa mbu baada ya misukosuko yote ya nyuma, roho yangu nyeupeeee...nishamsamehe na kumsamehe 'mwalimu' wangu wa mapenzi, tena namuombea heri hasa huko aliko...maana kiukweli nitaumia nikisikia anateseka!

I didn't deserve her, nor was she to me!....kila nikiuangalia mwaka 2011 na kumbukumbu zake, wallahi Mw'Mungu ni mwema. Kama ushawahi sikia msemo "baada ya dhiki faraja,!" ndio hali niliyopitia mimi.... JF kuna 'Guardian Angels' humu, ...God bless you all!!!


....Bro Mbu sasa niongeze nini tena nawe umeshamaliza kila kitu!? :):) si unaona hata soulmate wako kakupigia debe la nguvu sana hahahahah lol!
 
....Mhhhhh! MJ1 :):).....BAK loves this :):)

hahahaha!

...kule kwenye
facebook kuna feature; 'so and so' have mentioned you in his/her post...
hebu nambie BAK kama jf naweza ku enable option hiyo...maana mwj1 hata akipotea mwezi, siku akinitaja
tu nawewe unaibuka...hahahahahaha!...

ngoja niende imarati sasa, sijui leo tutafungwa ngapi yarabi...
 
hahahaha!

...kule kwenye
facebook kuna feature; 'so and so' have mentioned you in his/her post...
hebu nambie BAK kama jf naweza ku enable option hiyo...maana mwj1 hata akipotea mwezi, siku akinitaja
tu nawewe unaibuka...hahahahahaha!...

ngoja niende imarati sasa, sijui leo tutafungwa ngapi yarabi...
Hahahahahaha hii sasa kesi mwenzangu!! eh
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Moskwito kathibitisha, kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi!
Grieve kidogo, get a life and move on. Tena ndo wakati haswaa wa kutimiza ndoto zako ambazo zilikuwa zinamkwaza mwenzio. Kama umri unaruhusu nenda shule ama find a better job, kama hali inaruhusu build that dream mansion! Heey, sky is no longer the limit! Go for the sun, if its too hot u will at least catch the moon.
 
hahahaha!

...kule kwenye
facebook kuna feature; 'so and so' have mentioned you in his/her post...
hebu nambie BAK kama jf naweza ku enable option hiyo...maana mwj1 hata akipotea mwezi, siku akinitaja
tu nawewe unaibuka...hahahahahaha!...

ngoja niende imarati sasa, sijui leo tutafungwa ngapi yarabi...


Hahahahahahahah lol! ni coincidence tu Mkuu JF sidhani kama kuna feature kama hiyo ya kwenye FB :):)
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Advice: GET OVER IT. . . LIFE GOES ON!!

Kabisa Lizzy mamii, yaani ajaribu awezavyo kumsahau na kumove on. Even if itabidi adevelop new hobbies. Mie niliamua kuusoma mchezo wa Wrestling! Hadi nimekuwa addicted aisee and I thank HIM for that coz I get more satisfaction in wrestling more than I used to get when I was with him aisee.
 
Kabisa Lizzy mamii, yaani ajaribu awezavyo kumsahau na kumove on. Even if itabidi adevelop new hobbies. Mie niliamua kuusoma mchezo wa Wrestling! Hadi nimekuwa addicted aisee and I thank HIM for that coz I get more satisfaction in wrestling more than I used to get when I was with him aisee.

...haha, soulmate kujaribu kumsahau mtu aliyeingia na viatu vya matope akilini mwako ni ngumu kidogo,
la msingi ni kujikubalisha hilo tope waweza jengea angalau tofali la kuchoma!


...Soulmate Wrestling tena? angalia usimharibu prince bana, hachelewi wafanyia majaribio watoto wenziwe. Arsenal inacheza leo, tukifungwa tena kumbuka nilivyoumwa na ile swaumu ya mwaka jana!
 

....hey,

Grieving period ni muhimu, lakini usi exaggerate mpaka ukasahau kula, kulala, kwenda kazini
kuendelea kuvaa vizuri
na kujipenda kisa umeachwa! ...KUMBUKA blessings nyingine ulizojaaliwa...

....kumbuka, sio dhambi wala aibu hivyo unavyojisikia, dhambi na aibu ni jinsi utavyo react negatively!
chunga mdomo wako na unachosema kuhusu mwenzako,....kuachana sio uadui, lakini using'ang'anie urafiki naye!

Wenzako tulishapitia huko, na maisha yanaendelea...


“Some people come into our lives and quickly go. Some stay for awhile and leave footprints on our hearts. And we are never, ever the same.”


...acha/punguza mawasiliano na ex, otherwise you'll never move on! ...acha kurudisha fikra na kumbukumbu, au mazoea ya vitu, mambo na sehemu mlizozoea kuwa pamoja...

...acha kujipa mawazo ya labda atakurudia au labda ni kosa lako! it was meant to be like that, kubali matokeo....

...jipe moyo utayavuka majaribu haya. Japo ngumu kusahau mazoea lakini
kuna mengi mazuri yanakusubiria,...kubali matokeo!
jipe moyo!

Some people come into our lives as blessings, others come into our lives as lessons.
mbu asante kwa ilii..
 
Back
Top Bottom