meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
ratio ilikuwa 1:25000.Waseme na hizo ratio zilikuwa ngapi kabla ya Kikwete na baada ya miaka ya uwepo wake. Nakuhakikishia hawawezi.
Leo umejikaanga kwa mafuta yako! kwi kwi kwi!
Pengo limeongezeka wakati wa jk.na linaelekea kuwa baya zaidi baada ya jk kushindwa kutatua mgogoro huu pamoja na kutumia vyombo vyote vya dola!