BRICS kuanzisha bank

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,918
31,160
BRIC ni mjumuiko wa mataifa ya Brazil,Russia,India na China ambayo kwa pamoja yako katika stage ya uchumi unaokuwa kwa haraka sana [Advanced economic development] pia nchi hizi ujulikana kama Big 4.Inatarajiwa ifikapo 2027 uchumi wa BRIC utakuwa mkubwa kuliko ule wa G 7 [USA,Japan,Canada,France,UK,Italy & German].South Afrika yenye idadi ya watu 50 milion imejumuishwa ingawa idadi ya watu wake ni ndogo mno kulinganisha na mataifa ya China,India,Brazil au Russia na kuifanya jumuiya ijulikane BRICS.BRICS pia zinataka mageuzi katika shirika la fedha dunia IMF linalotawaliwa na mataifa ya magharibi.
 
BRIC ni mjumuiko wa mataifa ya Brazil,Russia,India na China ambayo kwa pamoja yako katika stage ya uchumi unaokuwa kwa haraka sana [Advanced economic development] pia nchi hizi ujulikana kama Big 4.Inatarajiwa ifikapo 2027 uchumi wa BRIC utakuwa mkubwa kuliko ule wa G 7 [USA,Japan,Canada,France,UK,Italy & German].South Afrika yenye idadi ya watu 50 milion imejumuishwa ingawa idadi ya watu wake ni ndogo mno kulinganisha na mataifa ya China,India,Brazil au Russia na kuifanya jumuiya ijulikane BRICS.BRICS pia zinataka mageuzi katika shirika la fedha dunia IMF linalotawaliwa na mataifa ya magharibi.
Umesahau South Africa. Lakini si hoja. Hoja ni kwamba hawa wakiwa na benki yao dunia itabadilika sana, hasa sera za ki-fedha. Itasaidia vi-nchi kama vyetu kuwa na alternative ya mahala pa kukopa fedha na huenda hata siasa hizi za ubepari uchwara zikabadilika. It is a welcome development.
 
Umesahau South Africa. Lakini si hoja. Hoja ni kwamba hawa wakiwa na benki yao dunia itabadilika sana, hasa sera za ki-fedha. Itasaidia vi-nchi kama vyetu kuwa na alternative ya mahala pa kukopa fedha na huenda hata siasa hizi za ubepari uchwara zikabadilika. It is a welcome development.
Naiona hatari fulani kwetu. Ni kweli benki yao inaweza kuleta mabadiliko ya mifumo ya kifedha duniani, lakini tulichotakiwa sisi ni kujifunza zaidi kutoka kwa hawa kuliko kufurahia masharti maopya ya mikopo.
Ni dhahiri kuwa tutaendelea kukiopa kwao na kuendelea kuzifisadi fedha hizo, haitatusaidia chochote. Tunatakiwa kujifunza hawa wamefanya nini hadi hii leo uchumi wao unakua kwa kasi. Wakati tunapata uhuru, hali yetu kuichumi ilikuwa sawa na nyingi ya nchi hizi, lakini leo hii Marekani anaposikia China anatetemeka. Kimetokea nini? hayo ndiyo tunapaswa kujifunza kuyafanya ili hiyo benki iwe ni msaada mkubwa kwetu. La sivyo, naona tutaendelea na business as usual na hiyo benki haitaleta tofauti kubwa sana kwenye uchumi wetu
 
Mkuu Mtandu,

South Afrika nimeiweka labda hujasoma vyema bandiko langu.Mwanzo zilikuwa nchi nne baadae SA ikaongezwa ndiyo maana leo inajulikana kama BRICS.



Umesahau South Africa. Lakini si hoja. Hoja ni kwamba hawa wakiwa na benki yao dunia itabadilika sana, hasa sera za ki-fedha. Itasaidia vi-nchi kama vyetu kuwa na alternative ya mahala pa kukopa fedha na huenda hata siasa hizi za ubepari uchwara zikabadilika. It is a welcome development.
 
Leaders of the BRICS nations have met in India to discuss creating a new development bank, at a summit in which the bloc of emerging economies sought to convert its economic might into collective diplomatic influence.
The leaders of Brazil, Russia, India, China and South Africa attended the fourth meeting of the bloc, a key non-Western alliance, that is looking to extend its influence.
"[The BRICS bank] would be a very powerful financial tool to improve trade opportunities."
- Fernando Pimentel, Brazilian trade minister

The five countries now account for nearly 28 per cent of the global economy, a share that is expected to continue to grow.
On Thursday morning, President Dilma Rousseff of Brazil, President Dmitry Medvedev of Russia, President Hu Jintao of China, President Jacob Zuma of South Africa and Prime Minister Manmohan Singh of India shook hands at the start of the one-day meeting in New Delhi.
Top of the agenda was the creation of the grouping's first institution, a so-called "BRICS Bank" that would fund development projects and infrastructure in developing nations.
The initiative would allow the countries to pool resources for infrastructure improvements, and could also be used in the longer term as a vehicle for lending during global financial crises such as the one in Europe, officials said.
Al Jazeera's Sohail Rahman reporting from New Delhi said: "The opportunity is to build a commercial hub to help the bloc itself. They want to solidify economic growth between them."
Though it remains in the planning stages, the leaders signalled their commitment to setting up the bank as a potential counterweight to other multilateral lenders such as the World Bank and the Asian Development Bank.
"It would be a very powerful financial tool to improve trade opportunities," Fernando Pimentel, Brazil's trade minister, told a session on Wednesday ahead of the summit.
BRICS finance ministers will examine the "feasibility and viability" of the proposal and report back before the grouping's next summit, in South Africa in 2013.
The leaders also signed two other agreements aimed at simplifying credit facilities for exporters and increasing the use of each others' currencies in trade deals.
They also pushed for a reform of international financial aid economic institutions, criticising the "slow pace" of reforms at the International Monetary Fund.
At their fourth summit together, leaders from the five members also issued a pre-emptive warning against any military action to end the unrest in Syria, or intervention in Iran.
"We agreed that a lasting solution in Syria and Iran can only be found through dialogue," Indian PM Singh said in a closing statement at the one-day summit in New Delhi.
The BRICS leaders also voiced their support for a Syrian peace process as envisaged by Kofi Annan, the joint UN-Arab League envoy to the country.

Source:Aljazeera.
 
Umesahau South Africa. Lakini si hoja. Hoja ni kwamba hawa wakiwa na benki yao dunia itabadilika sana, hasa sera za ki-fedha. Itasaidia vi-nchi kama vyetu kuwa na alternative ya mahala pa kukopa fedha na huenda hata siasa hizi za ubepari uchwara zikabadilika. It is a welcome development.

Afrika tulipigwa changa la macho na US-NATO nations. Sasa ndio tumeanza kuelewa nini umuhimu wa mfumo mpya wa fedha na kibenki.

Kuna mwafrika mmoja alikuwa anazindua huu mpango septemba 2011 lakini alitandikwa na wengi wetu tulichekelea.

Gadhafi

The Observer - Dismas Nkunda: Why Gaddafi mattered for Africa
 
Gaddafi had also pledged to fund three ambitious African projects - the creation of an African investment bank, an African monetary fund and an African central bank. Africa felt that these Africa-centred institutions were necessary to end its dependence on the IMF and the World Bank - institutions that prescribe unrealistic and unpopular measures to qualify for loans. These conditions which include measures to privatize natural resources and allowing unlimited access to foreign companies are designed to keep Africa eternally poor or dependant on the West. Libya had pledged funds for these projects from its investments in the United States. The US$ 30 billion which the Barack Obama administration froze (or robbed) at the first signs of the orchestrated troubles in the Libyan town of Benghazi was meant to finance these three African projects which would have given Africa some economic freedom.
Gaddafi's refusal of the World Bank, IMF, Western multinationals & AFRICOM: the real casus belli obscured by 'humanitarian' deceits | empirestrikesblack
 
nchi za magharibi ikiwemo US walimuua Comred Gaddaf (R.I.P) kwa nia yake ya kuiondoa afrika kutoka makucha ya IMF na WB sasa je nchi hizo zitatumia njia hiyo kuwaondelea mbali viongozi wa BRICS kwa nia yao hii ya kuanzisha Benki mbala wa WB?
 
Back
Top Bottom