.....WATAKAO DIRIKI KUFANYA HIVYO BONGO NI WALE WATAKAO ONDOA AIBU KWA KUPATA MOJA MOTO MOJA BARIIIIID.
Kazi ipo,MEWATA WANAJITAHIDI WAKISHIRIKIANA NA ITV.
Ingekuwa vp kampeni ya kuhamasisha upimaji VVU kwa hiari ingeanza kwa style hiyo?
Umoja Wa Wanawake Watakaa Kimya?
Imekaa kama vile kinyume na maadili yetu. Ama?
Watu wanaofanya mambo haya,we must condemn them in public,and congratulate them in private.
Ya mtoto wa kike kujisitiri maungo yake. Na kuepuka kuvaa mavazi ya kuchochea tamaa.
Chupi sio mila ya mwafrika, historia inatuambia kuwa nguo zililetwa na wageni, mababu zetu walijlkuwa wanamwaga mambo hadharani.Mkuu;
Mimi nadhani huenda tunatunza mila na desturi zetu. Ama?
Mkuu Sonara bado somo halijaeleweka; una maana mwanya kama mlima Kilimanjaro ama?
Hivi mkuu hujapatapo kusikia kuwa mwanya wa mwanamke mara nyingi unafuatana na umbile ya ile sehemu muhimu sikumalizi kwani Madili yenu yananiruhusu kufanya hivyo, niliposema kama mlima wa kilimanjaro nilikuwa na maana ya hiyo sehemu ilivyo vuvumka (mithili ya mkate wa hamuri) kama unauelewa ,any way mkuu naimani utanipata hapo ?kwa kawaida huwa I dont do no rikwesti.
Nimekupata sasa . . . . haaa haaa
Mimi nimewahi kusikia urefu wa nafasi kati ya kidole gumba cha mguuni na kinachofuata, ndo huwa kina-correspond au kinakujulisha urefu wa kule kwingine kutakuwa vipi . . . Tee tee tee!
Nadhani hapo mbele ni namna ya mshono wa Bikini tu, ama?
Nimekupata sasa . . . . haaa haaa
Mimi nimewahi kusikia urefu wa nafasi kati ya kidole gumba cha mguuni na kinachofuata, ndo huwa kina-correspond au kinakujulisha urefu wa kule kwingine kutakuwa vipi . . . Tee tee tee!
Nadhani hapo mbele ni namna ya mshono wa Bikini tu, ama?
Mkuu; Sasa huko mimi siko. Ngoja wenyewe waje wakusome. I am out!
Think of Breast Cancer Only!
Superman i like them galz. Hebu cheki aliyeweka kidole mdomi alivyoumbika natamani nisizeeke.
Naenda south africa
Mkuu, nadhani walitumia strategy hiyo kudraw attention ili message ya awareness ifike?
Je bongo inawezekana ikafanyika kwa amani?