Mwandishi wa habari wa Channel ten
mkoani Iringa Daudi Mwangosi afariki
dunia katika vurugu zilizojitokeza baada
ya polisi kuingilia mkutano wa operesheni
mabadiliko m4c ya CHADEMA.
Chanzo ITV
Viongozi wapo wangapi? na raia wapo wangapi? ni mahesabu rahisi sana ambayo hutakiwi uwe na masters ya hesabu kuelewa hilo.RIP mwandishi. ila mbona kwann ktk hizi vurugu hawafi viongoz.
Viongozi wapo wangapi? na raia wapo wangapi? ni mahesabu rahisi sana ambayo hutakiwi uwe na masters ya hesabu kuelewa hilo.