Breaking Story -Brown kufanza hafla kuhusu Kenya, London?

Richard

JF-Expert Member
Oct 23, 2006
14,934
20,371
Baada ya Kibaki na Odinga kukubaliana, Waziri Mkuu wa Uingereza bwana Gordon Brown amegusia leo jioni hii kwamba anakusudia kuandaa hafla kwa wahisani mbalimbali wa Afrika ili wajadili namna ya kuiokoa Kenya kiuchumi.

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari hafla hio itafanyika mwanzoni au katikati ya mwezi ujao wa March mjini London katika tarehe itayopangwa.

Uingereza na nchi zingine za wahisani pamoja na Marekani hawakupendezwa na utaratibu wa kuibiana kura huko Kenya na kuamua kumtuma mtu mzito Koffi Annan ambae ni katibu mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa.

Koffi alikwenda Kenya kama mwakilishi wa Jumuiya ya Kimataifa ambayo inajumuisha nchi zote zilizoendela pamoja na Israel ambazo zimehakikisha zinaratibu makubaliano hayo kwa kutumia mawasiliano ya moja kwa moja ama watu kama Condoleeza Rice na baadae bwana Koffi Annan.

Kenya sasa haijulikani imeathirika vipi kiuchumi kutokana na kukosa fwedha za kigeni na kusimama kwa shughuli nyingi za biashara ambazo zilikuwa zililetwa na watalii, ina hamu kubwa ya kukutana tena na wahisani hao ambao watakuwa tayari kurudisha tena shughuli zao za biashara ambazo zilisimama kwa kiasi fulani na kuleta hali ya wasiwasi kwa nchi hiyo kipenzi cha wazungu.

Lakini kwa kufikiwa makubaliano kati ya viongozi hao wawili kuna dalili kwamba shilingi ya Kenya bado iko imara kwa "standard" yake.

Kenya ilikuwa koloni la Uingereza mpaka mwaka 1963 ilipopewa uhuru wake ambao uligawiwa kwa kabila la Wakikuyu ambao walikuwa ndio kipenzi cha wazungu na wachache kiidadi na ndio ambao wamefaidika kwa kiasi kikubwa kiuchumi kwa kuwa na nafasi katika nyanza mbalimbali za uongozi wa nchi hio.

Sasa ni matumaini kwamba katiba itaangaliwa upya na serikali mpya ya mseto ambayo itaipitisha bungeni na kutoa nafasi kwa kila mkenya nae afaidi ardhi, asione ukabila na apate sehemu ya utajiri wa Kenya.

Source: World Media

NB:

Lakini pia nna swali ni kwanini Raisi wa Uganda Mzee Yoweri Kaguta Museveni hajahudhuria mazungumzo hayo? Si ndio baada ya makubaliano ikafanzwa bonge la party ya EAC katika miji yote ya Dar-es-Salaam/Dodoma/Arusha, Nairobi au Kampala?

Je pia unajua maana ya serikali ya mseto? Fuatilia kwa makini video hii ifuatayo:

http://article.wn.com/view/2008/02/...oalition/?template=africadaily/topstories.txt

Naomba tuchangie mawazo.
 
23th July 2008

1799747600-britain-s-prime-minister-gordon-brown-meets-kenyan-counterpart-raila.jpg
Kama nilivyowahi kusema huko nyuma hatimae Raila Odinga amefika UK namba 10 kumshukuru Waziri Mkuu Gordon Brown.

Kenyan Prime Minister Raila Odinga met Gordon Brown on Wednesday and thanked for helping to start the process that resolved the east African country's bloody crisis after its presidential election last December.

The disputed election led to two months of violence in which about 1,500 people were killed and more than 300,000 made homeless.

Peace was restored with the formation of a coalition government between President Mwai Kibaki and Odinga's former opposition party.

"Unknown to many people, it was Prime Minister Gordon Brown who started up the process of negotiations through phone calls, one to me, the other to President Kibaki, during which he asked us to agree that he could play a role behind the scenes to broker negotiations," Odinga said, after talks with Brown at his Downing Street office in London.

"That phone call is what started it all off, ending up with the establishment of a panel of eminent persons led by the former U.N. Secretary-General Dr. Kofi Annan.

"That panel presided over the negotiations that ended up with the signing of the peace accord in our country, and the formation of a grand coalition government," he added.

Odinga, who will later attend a meeting designed to stimulate investment in Kenya, said his country needed trade and investment and was open for business.

"Kenya is not coming with a begging basket," he argued.

Brown said Kenya still faced challenges, such as tackling corruption, but added: "I am convinced by my talks today that Kenya's leaders have the will and determination to take all the steps necessary and I applaud their commitment."

Chanzo: Mashirika ya habari.
 
Well...
If that is indeed the case, then well and good, a point for mr Gordon B.
Inasikitisha kuwa wengine 1500 hawapo kuona na kufaidika na matunda ya struggle yao.

David
 
Back
Top Bottom