Ya Tunisia yalianza hivyo hivyo!
Duuh!.. Nilvosoma title yako, Nkajua ya Egypt & Tunisia!... Kumbe migambo na machinga!..
Sasa baada ya mbunge wao (mtetezi wa machinga) kuondoka kwenda dodoma, hawa askali ndio wanalianzisha..? mwenye more info atujuze, ila huenda itakuwa baadhi ya maeneo kuna jamaa yangu nimeongea nae yupo ppf plaza kenyatta road hapo pako shwari ila anasema asubuhi aliona madefender ya polisi
me niko mwanza ila hzo vurugu cjazickia , labda, mitaa gani huko nikajionee?
ingia mitaa ya stend ya mohamedi aka soko kuu,,nenda barabara ya jiji then utausikilizia mziki wenyewe..
Nimewasiliana na jamaa yuko mjini, karibu na sokoni. Anasema issue imeisha baada ya Machinga kuruhusiwa kuendelea na shughuli zao. Hata hivyo maduka yalikuwa bado yamefungwa!