Watu bwana.huyu jamaa angeandika habari ya kweli kwamba waziri wa afya kajiuzuru,watu wangemponda kwa kusema kakosea jukwaa,lakini hapa kaandika utani katika jukwaa la utani watu wanang'aka.
kwa umbea wng ndo habari ya kwanza kufungua. kumbe ushe*zi mtupu
Nikikutukana ntakuonea,wahi mirembe!
Bangeeeeee za kuvutia chooni bila ya kula ni mbaya sana!!!