Breaking news;watumishi elimu manispaa ya ilala wafutwa kienyeji kwenye payroll

NDOFU

JF-Expert Member
Feb 23, 2009
656
144
BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi….
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana
 
serikali iwe makini kwa hili au ndio ile kauli ya nchemba inatimia kuwa hawababaishwi na walimu
bila walimu we couldnt be where we are now
 
hivi sheria inasemaje kuhusu kukatiwa mshahara bila kupewa sababu?huwa hakuna fidia?,maana unakuwa umemuathiri m2 kwa kiasi kikubwa!
 
BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi….
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana

Huu unyama sana. Poleni waalimu.

hapo kwenye blu una maana kuwa wakike wanacho cha kuuza?
 
Poleni sana kwa yanayowakuta, na hiyo ndo serikali tunayoitumikia, "kuna dili la kukusanya kura za maoni!, mtaitwa tena"
 
Hilo ni tatizo, na HRO kuwakimbia sio tiba!

lakini kwahapa tujiulize, Manispaa ya Ilala iliwahi kuwa na idadi kubwa ya walimu walioamua kwenda kujiendeleza (manispaa ikasema wametoroka na hawakuruhusiwa kwenda shule/chuo) na moja ya 'adhabu' waliyopata ilikuwa ni kutopatiwa mishahara yao?????! Isije kuwa hali hii imejirudia tena
 
Wapewe majibu ya kueleweka na hiyi kauli ya kuwa mshahara huo hawawezi kuupata ni uongo, wajaze salary claims arrears form na kuandika barua makao makuu yao kupitia vituo vyao vya kazi tayari kwa kurejeshewa.
 
serikali iwe makini kwa hili au ndio ile kauli ya nchemba inatimia kuwa hawababaishwi na walimu
bila walimu we couldnt be where we are now

Walahi nimeipenda hii!! Hivi lakini si waalim hawa hawa ndo SSM inawatumia kuwa watumishi na makarani wao wakati wa uchaguzi? Huwa ikifika wakati wa uchaguzi ni mavuno japo kidogo kwa waalimu. Kweli SSM hamna shukrani. Sasa kazi kwenu waalim hivi yule kiongozi wenu mwoga na mtu wa system Gratian Mkoba bado mnaye? Hana lolote la kuwatetea yule!!!! Maamuzi sahihi mnayo 2015.
 
BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi….
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana

na wanawake watauza nini kuwa muwazi tuu naona kuna kitu unaficha hapa!
 
BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi….
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana
Pole sana mwalimu mwenzangu, umeongea kwa uchungu hadi nimetokwa na machozi hapa
 
Back
Top Bottom