BREAKING NEWS
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi .
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana
WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU NA NYINGINEZO MANISPAA YA ILALA WAFUTWA KIENYEJI KWENYE PAYROLL
Watumishi zaidi ya sabini wa manispaa ya ilala wengi wao wakiwa walimu wamefutwa kwenye payroll,walimu hao wamejikuta hawana mshahara wa mwezi wa tano,habari tulizopata toka kwa mmoja wa waathirika wa tukio hilo siku ya jumamosi mishahara iliingia kwenye akaunti lakin yeye hakupata baada ya kufuatilia benki walidai awasiliane na mwajili wake alipofika kwa mkurugenzi wa ilala kitengo cha mishahara alikutana na wenzake na kuambiwa wamefutwa bila kupewa sababu,mtoa taarifa alieleza alipokwenda hazina waliambiwa wamefutwa na sababu anayo afisa utumishi,tokea jtatu mpaka leo alhamisi afisa utumishi bwana GIDEON haonekani ofisini kwake, taarifa zisizo rasmi zinasema anaWAkimbia,
Kinachosikitisha zaidi ni pale mkurugenzi wa idara ya utumishi alipoWAthibitishia kuwa hawawezi tena kupata mshahara wa mwezi wa tano wanachofanya sasa ni kujaribu kuwarudisha kwenye payroll ili hata june wasimiss,..
Kitendo cha hawa watumishi halali kutokuwepo kwenye payroll,kutolipwa mishahara ya mwezi wa tano kunaashiria nini?.....
Mkurugenzi yupo kwa ajiri ya rais,hiki ndicho alichotumwa na rais ,huyu jamaa na breakfast, lunch,gari yake kuja ofisini,posho za vikao zote kapata, hawezi jalI hawa watumishi watakuLa nini,?. wataishi vipi .
Hawa wa kiume watauza nini ili waishi hapa mjini ?
Mwalimu aliacha ualimu akaingia kwenye siasa,wote tuingie huko?
Kazi ya ualimu hapa tZ ni laana