Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Tumevamiwa, walinzi wakutwa hoi wamelala, computer, na vitunzia kumbukumbu vya rasilimali watu wa Tanzania vya yeya je huu ni ujasusi au ni wizi wa kawaida?? Usalama wa taifa jumlisheni vizuri hili sio jambo dogo.