Source clauds
Watu wakimbia mji. Yadaiwa ni hujuma za watu flani flani na nimadai ya wakulima wa korosho
Si serikali ipeleke yale magari ya washawasha yakazime moto! Au yanawasha tu hayawezi kuzima moto?!
Wamakonde wanakumbushia gorilla war za FLERIMO na Renamo, wamechoka kuchakachuliwa.Si serikali ipeleke yale magari ya washawasha yakazime moto! Au yanawasha tu hayawezi kuzima moto?!