Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Wakuu nilikuwa nasikiliza taarifa ya habari ya RFA nikasikia kuwa rais wa nchini Haiti amepigwa mawe na wanafunzi wa chuo kikuu nchini humo alipokuwa akitoka kwenye sherehe usiku,walinzi wake walifanya kazi kubwa ya kumlinda rais wao ili mawe yasimpate.