Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Hii dhana ina ukweli ndani yake aisee.....
Ndo maana mi niko na tuvulana pekee....
nikipata news kama hizi huwa natamani mtoto wa uzeeni, tabu nyonga zishakaza...
Hii dhana ina ukweli ndani yake aisee.....
Ndo maana mi niko na tuvulana pekee....
sasa wapwa na mabinamuz............mpango mzima ni huu hapa!
The Finest: kijana wa Logistics, hebu facilitate hili zoezi!
Aisee unajua hapo umefanya age calling? Jichagulie adhabu!
Dah.... kama kweli wazee wa infii wanatanguliza videmu ndani ya nyumba basi mie lazma mlokole aisee... maana huto tu-mwenelehi twangu tudume aisee
Ngoja niwaandae kwa zoezi la ukubwani
Toa ombi kwa LOGISTICIAN The finest.Mnaweza kufanya delay tactics hapa?
....yani kama Pete za ma -rangi rangi, free masons N.KThat proves it as just a myth....pamoja na kutanguliza wa kike bado sio infii
nikipata news kama hizi huwa natamani mtoto wa uzeeni, tabu nyonga zishakaza...
We ulikuwa wapi leo
hahahaa!!! Now that u know, it proves that it is not a myth anymore, it is for Real brada!Hivi Dena ana mtoto wa kike?
hahahaa!!! Now that u know, it proves that it is not a myth anymore, it is for real brada!
U infi, u get a baby she! Thats the rule.
Wapi fl baaanaaa!.....kama vile ukiwa mweupe, una infii ile mbaya!! Yani kwa mujibu wa fl, hii kitu ni auto
JF imependekeza aitwe Glory...........we are waiting for the overwhelmed dad to come back and take it