Asprin
Gy
Teamo
Bigirita
St. RR
Ba Enock
etc oroza ni ndfu kwakweli
Hii dhana ina ukweli ndani yake aisee.....
Ndo maana mi niko na tuvulana pekee....
Asprin
Gy
Teamo
Bigirita
St. RR
Ba Enock
etc oroza ni ndfu kwakweli
Mnaweza kufanya delay tactics hapa?sasa wapwa na mabinamuz............mpango mzima ni huu hapa!
The Finest: kijana wa Logistics, hebu facilitate hili zoezi!
Hongera kuu toka kwa Big Braza ODM aka BABU wa wajukuu...
Waungwana nisaidieni kuhusu hii dhana kuwa eti mainfii lazima wapate first born wa jinsia ya kike. Kuna ukweli wowote ndani yake?
Nauliza tu huku nikiendelea kupana Wai Po hapa kujipongeza. Sababu nyingine ya kusheherekea na kunywa bia kwenye: Ubatizo, Komunyo ya Kwanza, Kipaimara, Gradyuesheni, MAHARI, Kitchen Party(Tukiwapeleka mai waifu wetu huko, huwa tunawasubiria baa),Send off party .....na....harusi ofkozi.
Weldone Dogo Teamo.
ha ha ha we piga kasensa kadogo tu hapa JF jibu unalo!!
Naomba nianze na wewe hommie......leta status ya uzao wako tafazali. wa kwanza?
Asprin
Gy
Teamo
Bigirita
St. RR
Ba Enock
etc oroza ni ndfu kwakweli
may be..... si wanachakachua sana mpaka zina nanihiii xYz sinakosa speed!
Babuuuuuu......TAYARI WAMEKWISHAAANZA
Mainfii hapa inasimama kama?
Je hii inaapply kwa mainfii wa kike pia?
Jiandae KUPOKEA MAHARI.... Hongera Baba Glory!!!
Hongera kuu toka kwa Big Braza ODM aka BABU wa wajukuu...
Waungwana nisaidieni kuhusu hii dhana kuwa eti mainfii lazima wapate first born wa jinsia ya kike. Kuna ukweli wowote ndani yake?
Nauliza tu huku nikiendelea kupana Wai Po hapa kujipongeza. Sababu nyingine ya kusheherekea na kunywa bia kwenye: Ubatizo, Komunyo ya Kwanza, Kipaimara, Gradyuesheni, MAHARI, Kitchen Party(Tukiwapeleka mai waifu wetu huko, huwa tunawasubiria baa),Send off party .....na....harusi ofkozi.
Weldone Dogo Teamo.
Hii dhana ina ukweli ndani yake aisee.....
Ndo maana mi niko na tuvulana pekee....
St. RR... Salama? Jana uliingia church?
Babu, habari za chiang chong? Yaani ushaanza kuwaza namna ya kukabizisha kinanihino cha ze Gift? Ngoja nipige bajeti ya Matesha kwanza
Mungu wetu ndiye aliyejibu maombi yetu na dogo kapata kababy girlwho is he?
Umezeeka sana we babu siku izi...nimeuliza inamaana Dena nae akizaa mtoto anakuwa wa kike, maana now she is on tha making kama infii wakwanza wa kike kujitokeza hadharani
Babu, habari za chiang chong? Yaani ushaanza kuwaza namna ya kukabizisha kinanihino cha ze Gift? Ngoja nipige bajeti ya Matesha kwanza