Lady N
JF-Expert Member
- Nov 1, 2009
- 1,914
- 131
who is he?sala zimejibiwa... Ila mimi huwa simuiti mungu wa israel, namuita mungu wetu wote....
who is he?sala zimejibiwa... Ila mimi huwa simuiti mungu wa israel, namuita mungu wetu wote....
JF tukiomba huwa linawezekana...!
God of ISRAEL IS ALIVE, NA WALA HAENDI SAFARI, WALA HASINZII, WALA HALALI!
Hatimae dakika kama kumi zilizopita TEAMO na mkewe wamejaaliwa kupata mtoto wa kike salama salimin
God is great
We are not sure if the name starting with G will hold for the new baby girl
Its a lovely day for JF
ha ha ha we piga kasensa kadogo tu hapa JF jibu unalo!!Hongera kuu toka kwa Big Braza ODM aka BABU wa wajukuu...
Waungwana nisaidieni kuhusu hii dhana kuwa eti mainfii lazima wapate first born wa jinsia ya kike. Kuna ukweli wowote ndani yake?
Nauliza tu huku nikiendelea kupana Wai Po hapa kujipongeza. Sababu nyingine ya kusheherekea na kunywa bia kwenye: Ubatizo, Komunyo ya Kwanza, Kipaimara, Gradyuesheni, MAHARI, Kitchen Party(Tukiwapeleka mai waifu wetu huko, huwa tunawasubiria baa),Send off party .....na....harusi ofkozi.
Weldone Dogo Teamo.
Naomba nianze na wewe hommie......leta status ya uzao wako tafazali. wa kwanza?ha ha ha we piga kasensa kadogo tu hapa JF jibu unalo!!
AsprinNaomba nianze na wewe hommie......leta status ya uzao wako tafazali. wa kwanza?
may be..... si wanachakachua sana mpaka zina nanihiii xYz sinakosa speed!Hongera kuu toka kwa Big Braza ODM aka BABU wa wajukuu...
Waungwana nisaidieni kuhusu hii dhana kuwa eti mainfii lazima wapate first born wa jinsia ya kike. Kuna ukweli wowote ndani yake?
Nauliza tu huku nikiendelea kupana Wai Po hapa kujipongeza. Sababu nyingine ya kusheherekea na kunywa bia kwenye: Ubatizo, Komunyo ya Kwanza, Kipaimara, Gradyuesheni, MAHARI, Kitchen Party(Tukiwapeleka mai waifu wetu huko, huwa tunawasubiria baa),Send off party .....na....harusi ofkozi.
Weldone Dogo Teamo.
Hongera kuu toka kwa Big Braza ODM aka BABU wa wajukuu...
Waungwana nisaidieni kuhusu hii dhana kuwa eti mainfii lazima wapate first born wa jinsia ya kike. Kuna ukweli wowote ndani yake?
Nauliza tu huku nikiendelea kupana Wai Po hapa kujipongeza. Sababu nyingine ya kusheherekea na kunywa bia kwenye: Ubatizo, Komunyo ya Kwanza, Kipaimara, Gradyuesheni, MAHARI, Kitchen Party(Tukiwapeleka mai waifu wetu huko, huwa tunawasubiria baa),Send off party .....na....harusi ofkozi.
Weldone Dogo Teamo.