zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
wale wote wanaopenda kwenda JKT nafasi zimetoka,Wanahitaji watu 350,elimu kuanzia Shule ya msingi mpaka elimu ya juu. Kwa maelezo fika ofisi ya mkuu wa wilaya,ofisi ya mshauri wa mgambo mkoa ulipo,
Hakikisha.
Original birth certificate
Original academic certfcte
Barua ya uthibitisho wa makazi kutoka kwa m/mtaa/mtendaji
AGE-18 TO 23
MAFUNZO NI MIAKA 2
updates za leo ofisi ya wilaya ya kinondoni
Baada ya kufika pale nilikuta vijana wengi wakisubiri usaili wa jeshi,gafla nikamuona afande mmoja ana v mbili nikamfata na kuanza kumuuliza maswali..
swali langu la kwanza ni kuwa katika NAFASI HIZI WENYE UJUZI MNA WACHUKUA afande akajibu HATA KWENYE MSAFARA WA MAMBA KENGE NAO WAPO...NENDA JUU KAWAPE DETAILS ZAKO.....
Nawatakie kila lakheri muendao huko.
Hakikisha.
Original birth certificate
Original academic certfcte
Barua ya uthibitisho wa makazi kutoka kwa m/mtaa/mtendaji
AGE-18 TO 23
MAFUNZO NI MIAKA 2
updates za leo ofisi ya wilaya ya kinondoni
Baada ya kufika pale nilikuta vijana wengi wakisubiri usaili wa jeshi,gafla nikamuona afande mmoja ana v mbili nikamfata na kuanza kumuuliza maswali..
swali langu la kwanza ni kuwa katika NAFASI HIZI WENYE UJUZI MNA WACHUKUA afande akajibu HATA KWENYE MSAFARA WA MAMBA KENGE NAO WAPO...NENDA JUU KAWAPE DETAILS ZAKO.....
Nawatakie kila lakheri muendao huko.