white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,277
hapa tunduma mpaka umefungwa upande wa zambia kutokana na wamachinga wa tz kwenda kuuza bidhaa upande wao,na kuwapiga!hivyo wa machinga wa tz walioko upande wa tz,wakaanza nao kuwapa kipigo wazambia walioko upande wa tz.hivyo wazambi wameamua kufunga mpaka,ffu ndio wamefika,kuna foleni ya kufa m2.