Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,721
- 21,778
Jamani hii n i aibu ya serikali na nafikiri haka kamchezo kako kila ofisi
ukisoma mwananchi leo unawweza kusoma aibu ya tra jamani
huzuni kubwa kwanza breakpoint bar imefungwa
katika hali isiyokuwa ya kaiwaida mabosi wa tra wakiwa 10 waliambatana kwenda breakpoint bar na walipofika
wakaagiza pombe na vyakula bili ikafika laki na sitini walipopelekewa wakaasema tunataka risit za tra
jamani ikabidi aitwe mkurugenzi david akawaeeleza amchine zenu zina matatizo na nimetuma ujumbe bmtl wamesema
wanakuja na hata makao yenu m akuu nimewajulisha wakasema sisi atulipi na kwa ukitaka tulipe tuletee ofisini kwetu risiti ya tra hata kesho mama mmoja ajulikanae mabula akacha namba yake
jamani kwa mnaomfahamu huyu mama ni mshenzi kwa kuomba rushwa mbaya tena wazi wazi;cha kushangaza wakaendwa kwa mkuu wa tra ilala wakatuma watu wafunge bar ya breakpoint,..hii ni aibu kubwa na kuleta faini ya millioni 3 na inasemekana analalla na mama mh mmoja ndio maana anakuwa na kiburi achilia mbali mke wa mtu
ndugu wapendwa hii ni kwawale mnaolipa tra muwe makini sana sana na wah wanaokadiria..nina mjomba wangu alifatwa na hawa mapunguani wakamletea alipe kodi ya million 80 akashangaa wakati hana hata biashar inayofika hiyo bei....akauliza mmepewa na nani hizi bili ..baada ya wiki akaitwa na mkuu wa tra wilaya moja akamwelekeza na kumpa kila risit akadai aende akawasiliane na jamaa wanaohusika kukadiria ..alipofika jamaa wakamwambia atafute million 20 hii bili ifutwe kabisa..jamani akawambiia kwa biashara gani nilionayo wakamwambia atafute million 10 akawambia nina miaka 5 nalipa hizi bili kwa million 10-13 sasa leo unasema bila risit nikupe million kumi mi nafikiri pelekeni mbele...ninavyowambia akaenda mjini akamweleza mh mmoja akaishia kulipa million 6.7 na risit sasa ya kweli ama feki wanajua wao
so muwe makini sana msijemkaishia kufanyia biashara tra na kurudi kiraracha kabla amjafa
wazo langu kuleta hii mada ni je ukikosea nilazima ulipe
ukisoma mwananchi leo unawweza kusoma aibu ya tra jamani
huzuni kubwa kwanza breakpoint bar imefungwa
katika hali isiyokuwa ya kaiwaida mabosi wa tra wakiwa 10 waliambatana kwenda breakpoint bar na walipofika
wakaagiza pombe na vyakula bili ikafika laki na sitini walipopelekewa wakaasema tunataka risit za tra
jamani ikabidi aitwe mkurugenzi david akawaeeleza amchine zenu zina matatizo na nimetuma ujumbe bmtl wamesema
wanakuja na hata makao yenu m akuu nimewajulisha wakasema sisi atulipi na kwa ukitaka tulipe tuletee ofisini kwetu risiti ya tra hata kesho mama mmoja ajulikanae mabula akacha namba yake
jamani kwa mnaomfahamu huyu mama ni mshenzi kwa kuomba rushwa mbaya tena wazi wazi;cha kushangaza wakaendwa kwa mkuu wa tra ilala wakatuma watu wafunge bar ya breakpoint,..hii ni aibu kubwa na kuleta faini ya millioni 3 na inasemekana analalla na mama mh mmoja ndio maana anakuwa na kiburi achilia mbali mke wa mtu
ndugu wapendwa hii ni kwawale mnaolipa tra muwe makini sana sana na wah wanaokadiria..nina mjomba wangu alifatwa na hawa mapunguani wakamletea alipe kodi ya million 80 akashangaa wakati hana hata biashar inayofika hiyo bei....akauliza mmepewa na nani hizi bili ..baada ya wiki akaitwa na mkuu wa tra wilaya moja akamwelekeza na kumpa kila risit akadai aende akawasiliane na jamaa wanaohusika kukadiria ..alipofika jamaa wakamwambia atafute million 20 hii bili ifutwe kabisa..jamani akawambiia kwa biashara gani nilionayo wakamwambia atafute million 10 akawambia nina miaka 5 nalipa hizi bili kwa million 10-13 sasa leo unasema bila risit nikupe million kumi mi nafikiri pelekeni mbele...ninavyowambia akaenda mjini akamweleza mh mmoja akaishia kulipa million 6.7 na risit sasa ya kweli ama feki wanajua wao
so muwe makini sana msijemkaishia kufanyia biashara tra na kurudi kiraracha kabla amjafa
wazo langu kuleta hii mada ni je ukikosea nilazima ulipe