Dilunga
JF-Expert Member
- Apr 8, 2009
- 679
- 49
Mukulu, issue ya BUSH muulize Kubenea, sio lazima nijue kila kitu dunia hii.
Sasa unamruka mleta mada. Ati hujui kila? Kama hujui kila kitu, umejuaje kwamba mleta mada ni Kubenea?
Na kama hujui ya Bush, kwa nini ulijifanya mstari wa mbele kueleza kitu ambacho hukielewi? Acheni kuzusha.