Fullfigadiva J
Member
- Sep 29, 2011
- 92
- 18
Mbaya hii.
Miundombinu ya Mwanza ina tatizo la kudumu la kutuamisha maji, na hii ndiyo iliyopelekea hata ndege ya Atcl ku'skid-off na kuharibika vibaya mwaka jana. Mamlaka husika inatakiwa kuvalia njuga suala hili, hasa kwa kutotanguliza maslahi binafsi kwenye kandarasi za ujenzi wa miundombinu.
poleni sana wadau..
naomba link kama nawezi ipata startv through internet
ni kweli kabisa viongozi wetu wavivu wa kufikili wanatoa majibu mepesi sana kama hayooooChadema haoo!