Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Nimesoma sasa hivi NY Times wanasema ile risasi jamaa aliikwepa kwa kuinamisha kichwa. Ilipomkosa risasi iligonga ukuta. NY Times vile vile wanadai eti Gbagbo saa hii anaelekea Loliondo kukutana na Babu kupata ushauri wa dawa ya kuweza kuishi milele. Ninaifuatilia hii stori ya kusisimua na nitawafahamisha pindi zitakapotokea updates zozote!kapigwa risasi lakini hajafa.habari za kufa ni za uongo.ila ukweli ni kwamba yule kapigwa risasi tu.
.